Friday, May 17, 2013
Legendary Bi Maumbile: ameitwa bi maumbile sababu haishi kuugua viungo vyake ndo wakamtunga hilo jina la Maumbile.ni mtu wa maneno mengi na mapenzi ya ndugu zake,udhaifu wake ni umbea tu! ila si mlaumu saana mana si mnafki bali ni mbea tu, yaani huwa anafikisha taarifa upande wa pili kabla ya muda rasmi wa kufikisha taarifa hiyo au ruhusa toka kwa wahusika haswa wa taarifa hiyo, lakini hazidishi chumvi {Bigup Bi Maumbile} msemo wake mkubwa ni "KULA MAVI, KUNYA MAVI" hana maana ya kukufuru au kumtia mtu kinyaa bali hapa chini ya jua wote ni sawa haijalishi UMRI, MALI, CHEO, JUU, CHINI, JINSIA, KABILA, KOO au FAMILIA utokayo woooooote sisi ni sawa.......na ni kweli mana hakuna mbora kati yetu ispokuwa yule anayemcha M/mungu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment