Hata ndege hupaa lakini mwisho anatua, naamini wewe ni mti wenye matunda ambao kamwe sitoruka tena toka kwenye mti huo, naomba nijenge na kiota kabisaa ili nile na kulala hapahapa.
Rahma John Seni......amini usiamini wewe ndie malikia wangu wa bara zima hili la Afrika na ulimwengu kwa ujumla.naomba uniletee matunda yatakayofanana na wewe
AAAAAMIIIIN
No comments:
Post a Comment